USIANZISHE BIASHARA KABLA HUJAFANYA HAYA KUMI.
1.Fanya utafiti wa kutosha juu ya biashara unayotaka kuazisha sio tu kwa kuwa
kuna mtu unayemjua amefanikiwa kutokana na biashara hiyo. Pia hakikisha unajua
ni nini utakifanya endapo biashara hiyo itaanguka ghafla.
2.Uwe tayari kufanya maamuzi magumu! Daima kuwa mtu wa kuthubutu na usiogope hasara kwani mafanikio huanza kwa taratibu na hasara ni njia moja wapo ya kujifunza na kuendelea mbele katika biashara.
2.Uwe tayari kufanya maamuzi magumu! Daima kuwa mtu wa kuthubutu na usiogope hasara kwani mafanikio huanza kwa taratibu na hasara ni njia moja wapo ya kujifunza na kuendelea mbele katika biashara.
3.Mafanikio
huanza kwa kiasi kidogo cha fedha, usiache kuthubutu kwa kuwa tu, hauna mamilioni
ya pesa ya kuanzia kama mtaji. Siku zote hakikisha una fedha za dharula na
kamwe usitumie fedha ya mtaji kwa matumizi mengine.